Details
Description
Hapa kuna viwanja viwili vilivyoungana na ambavyo unaweza kuunganisha (ukipenda) Kila kimoja ukubwa ni SQM.700. Na hiyo Bei ya Tshs.19 Milioni ni kwa kimoja. Eneo ni MBUYUNI, KINYEREZI. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. ________mpg Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.