Details
Description
Hapa Mmiliki ana eneo kubwa, kaamua kulikata(KUGAWANYA) vipande kadhaa. Eneo Zima LIMEPIMWA inasomeka ni Kiwanja kimoja. Pakikatwa itabidi kufuatilia Ardhi kila mmoja awe na umiliki wake binafsi. Ni umbali wa wastani wa mita 400 kutoka MATAA YA AFRIKANA,MBEZI UPANDE WA JUU, Na Mita 100 kutoka Lami. Hapahapa pia kuna Kiwanja chenye ukubwa wa SQM. 1,200, Bei yake ni Tshs.120 Milioni. Eneo ni tulivu. _____ ANGALIZO: MalipoyaDalalini10% Kuona ni Tshs.50,000. (UnalipaweweMNUNUZI) ____Abl/Dv