Details
Description
Hapa kuna Kiwanja na, Nyumba ya vyumba 3, Pamoja na PAGALE lenye Vyumba 5 ambapo kila Chumba na Choo chake. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 3,000. Kina HATI (Title Deed) ya Wizara. Kimezunguushiwa Ukuta na Get lipo. Eneo KILUVYA KWA KOMBA (Upande wa Dar) Umbali wa kilomita 1 tu kutoka Barabara ya Morogoro. ________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________mpg