25.04.2025Dar es Salaam

KIWANJA SQM. 1500 LUGURUNI.

TZS 190 000 000

Details

Terms
Monthly in advance
Price per square unit
No
Square units
1500 m2

Description

Hiki ni Kiwanja kizuri cha kwenye Kona, Na Chenye UMILIKI WA HATI (Title Deed) ya Wizara. Kipo umbali wa wastani wa mita 400 kutoka OFISI ZA MANISPAA YA UBUNGO na jirani zaidi na MAHAKAMA pale LUGURUNI/KIBAMBA. Ukubwa ni SQM. 1,500. Mtaa unajengeka kwa kasi. ___________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. ___________mpg Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.

Dalalitz G.

Member since 2024.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar es Salaam