Details
Description
VIWANJA VINAUZWA KIBAHA PANGANI ________________ Maelezo ya ardhi: Matumizi yoyote _____________________ Umiliki: Viwanja vimepimwa na baadhi Vina hati husika. _____________________ Mahali: Kibaha Maili Moja, Eneo la Pangani, Ni kilomita 3 kutoka barabara ya Morogoro mpaka kwenye Viwanja, (Kibaha Maili Moja, Pangani, Dar es salaam. Tanzania) _____________________ Ukubwa wa Viwanja: 698 SQM, 420 SQM, 2432 SQM, 2731 SQM, na 2424 SQM _____________________ Bei: Tsh 15,000 @ 1 SQM (Maongezi yapo)