Details
Description
*TUNAUZA kiwanja chetu karibu kidogo na MIKADI BEACH RESORT KIGAMBONI na PWEZA BEACH (umbali yake kutoka Ferry takribani kilometa 3 na kutoka ufukweni mita 600 tu! Ukijenga ghorofa utapata upepo safi kabisa ya bahari na kuiona inawezekana!!) Eneo Haijapimwa. Inao hati ya Serikali ya Mitaa. Takribani skwaya mita 200. Bei yetu Tsh net 70,000,000/= ukiwa tayari kununua wasiliana na 0713-671-656 au 0693-167165 fuata Instagram fb@abmcorealestate WhatsApp +255784-747412 ABM&CO. REAL ESTATE SERVICES*