Details
Description
*Beach plot 3 yenye nyumba inauzwa Kigamboni-Magogoni* -Nyumba ina vyumba 4 vya kulala na jengo la mgahawa ndani ya eneo. -Eneo linagusa lami ni KM 4.9 kutoka City centre kupitia Ferry lipo Meter 280 kutoka Beach na ukitokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere ni 21 KM kupitia Ferry -Eneo linafaa kwa kujenga Petrol Station, Jengo la Biashara au Hotel. -Plot size Sqm 3800 *Document* Eneo lina ofa *Bei ni shilingi milioni 888 = $ 355,200 mazungumzo yapo*