08.09.2021Tanzania, Dar Es Salaam

WIFI DOME SECURITY CAMERA

TZS 120 000

Condition:

NEW

Description

Camera inasifa zifuatazo:✍ ✅Ina Wifi inayokuwezesha kuona matukio live na kuona yalorekodiwa kwenye memory card kwa wireless kupitia simu/pc ndani ya mita 50 ✅Ikiwekewa Router (wifi internet) jirani unaweza kuona matukio popote ulipo duniani kwa simu au tablet. Router ndogo zinauzwa kati ya Tsh 45,000 na 75,000. ✅Unaweza kuizungusha nyuzi 360 kupitia simu yako. ✅Ina motion sensor, akipita mtu inaweza kuwasha taa kali na kupiga alarm. nakukutumia ujumbe kwa simu. ✅Infaa zaidi ndani Pia Unaweza kusikiliza sauti na kuongea na watu walio jirani na camera. ✅2Megapixel HD camera, 3.6mm lens Tembelea profile yetu insta  kuona SPY, BULLET, PTZ, MINI NA SOLAR CAMERAS ?

UseeIt-Tz

Member since 2021.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam