30.12.2021Tanzania, Dar Es Salaam

Internet Signal Booster Antenna

TZS 290 000

Condition:

NEW

Description

Unaunganisha na cpe Router na kuelekeza uelekeo wa Mnara. Inaongeza sana nguvu za mtandao wa internet. Frequncy 700-960/ 1700-2700 / 3300-3800MHz Gain 2x16dbi / 2X24dbi /  2x30dBi Mikoa yote tunatuma. unalipia ukipokea. namna ya kufunga utaelekezwa kwa video au fundi atakufungia kwa garama mdogo kama ni Karibu na Dar bidhaa inajumuisha Antena na wire zake

UseeIt-Tz

Member since 2021.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam