Details
Description
Hii ni nyumba nzuri yenye vyumba 3 na ambayo umiliki wake ni HATI (Title Deed) ya Wizara. Eneo: Ipo wastani wa mita 400 tu kutoka Barabara ya Lami, GOBA MAGETI. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 700. _______ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _______zw Ipo ndani ya Fensi. Ina Tiles,Gypsum, Slide Windows, Parking.