Details
Description
Nyumba nzuri yenye vyumba vya kulala 4. Ambopo kati yake 1 ni Masta. Pia kuna Sebule, Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 350 KIMEPIMWA (Hati ipo kwenye Mchakato. Eneo ni UKONGA, MOSHIBAR/KWAMKOLEMBA. _______ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000 (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _______ukN