Details
Description
Hii ni nyumba ya KUMALIZIA Ujenzi. Vyumba 3 (Masta 1) Pia kuna Sebule,Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 350. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Huduma ya Umeme ipo. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000 (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________mskv