Details
Description
Hii ni nyumba KUMALIZIA ujenzi. Imeshafunikwa na Umeme upo ( Watu wanaishi) Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 360. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Vyumba 3 ( Masta 1) Pia kuna Sebule, Jiko,Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________mskv Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali