Details
Description
Hii nyumba ipo KIMARA MWISHO/KWA MAMA STELLA. Umbali wa kilomita 3 tu kutoka Barabara ya Morogoro. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 300. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Vyumba 4 (Masta 1) Sebule, Jiko na Choo cha Familia ndani. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________mpg