Details
Description
Hii nyumba ipo umbali wa kilomita 2.5 tu kutoka Barabara ya Morogoro. Eneo ni MBEZI KWA MSUGULI. Imeezekwa Paa la kuficha Bati (CONTEMPORARY design) Ina jumla ya vyumba vya kulala 4 (3 kila Chumba na Choo chake ndani) Pia Ina Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani. Kiwanja tambarare na ukubwa wa SQM. 800 Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. ___ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Kuona tuwasiliane mapema tafadhali. ___yhn/wn