Details
Description
Nyumba nzuri. yenye jumla ya vyumba vitano (5) vya kulala, ikiwa na Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani. Inauzwa CHANIKA KWAZOO/ILALA. Hapa unapangda Gari moja tu kufika Mjini. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 300. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. __________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu . _________mskv