Details
Description
Hii ni nyumba mpya ya kisasa, imara, inayovutia na YAKUHAMIA. Ipo PUGU-KWA-RAHISI/ILALA. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 460. KIMEPIMWA (Vigingi vya Wizara vipo) Vyumba 4 (Masta 1) Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. Ni Safi na ya hadhi nzuri hivyo wahi usije kujutia. ___ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. ____mskv Ukihitaji kukagua taarifa mapema.