Details
Description
Hii nyumba ipo kati ya MSONGOLA na KIVULE. Kufika Mjini ni Daladala moja tu. Ina vyumba 4 (Masta 1) Pia Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 350. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000 (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________mskv Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.