Details
Description
Nyumba nzuri yenye jumla ya vyumba vinne (4) vya kulala inauzwa. Ipo KIMARA GOLANI/SUCA. Umbali wa kilomita 3 kutoka Barabara ya Morogoro. Kiwanja kina ukubwa wa SQM 40P. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Vyumba 4 (Masta 1) Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. ________mpg Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.