Details
Description
Hii nyumba imepunguzwa Bei. Ipo PUGU SHULE/ILALA. Vyumba 3 ( Masta 1) Pia Ina Sebule,Jiko,Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 460. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________mskv Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.