Details
Description
Nyumba yenye vyumba 3 (Masta 1) Pia Sebule,Jiko,Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. Ipo KITUNDA KIVULE. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 380. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. ___________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. ___________mskv Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali