Details
Description
Hii nyumba ipo umbali kilomita 3 kutoka Barabara ya Morogoro. Eneo ni MBEZI KIBANDA CHA MKAA. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 500. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Ujenzi wa kisasa. Vyumba 3 ( Masta 1) Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room, Store na Choo cha Familia. Parking ipo. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________mskv Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.