Details
Description
Hii nyumba ni ya kisasa na inahitaji maboresho madogo hasa rangi nje. Ipo umbali wa mita 400 tu kutoka Barabara ya Lami. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400. Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara. Kuna vyumba 3 (Kila Chumba na Choo chake ndani) Pia kuna Sebule, Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani. ______ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. ______jj Kukagua taarifa mapema.