Details
Description
Hii nyumba inahitaji umaliziaji wa mwisho. Ipo KIVULE FREMUKUMI. Vyumba 3(Masta 1) Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani. ________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _______mskv