Details
Description
Nyumba nzuri yenye vyumba viwili (2) katika Kiwanja chenye ukubwa wa SQM 460. Eneo ni KIVULE-MSONGOLA. Vyumba 2 ( Masta 1) Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________mpg Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.