Details
Description
Hii nyumba INAUZWA NA BANK. Ipo MBANDE, Jirani na Shule ya Msingi Mbande au SINBAD. Inauzwa pamoja na Mabanda 6 (Kila Banda lina Vyumba 2) ambayo yapo ndani ya Kiwanja hichohicho kimoja na ambacho kina ukubwa wa SQM. 900. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Nyumba kunwa ni ya kisasa. vyumba 3(Masta 1) Pia Sebule, Jiko na Choo. ____ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (UnalipaweweMnunuziTAFADHALI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. ____mpg