Details
Description
Kiwanja cha hii nyumba KIMEPIMWA. (HATI HAIJATOKA BADO) Ukubwa ni SQM. 500. Eneo ni GOBA MUUNGANO/KULANGWA. NJIA NNE KUELEKEA MADALE. Imejengwa kisasa. Vyumba 3 vya kulala (Masta 1) Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani. Nyumba ipo ndani ya Fensi, Parking yakutosha na kuna ACs. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________mpg