Details
Description
Hii ni nyumba nzuri yenye jumla ya vyumba vya kulala vitatu(3) ambapo Masta ni Moja. Pia Ina Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. Vilevile ina Fremu 2 za Biashara. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 600. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Eneo ni KITUNDA MKOLEMBA /KWAMBINDE. Wahi usije kuikosa Mdau wangu. ____ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. ____mskv