Details
Description
Hii ni nyumba nzuri yenye vyumba viwili (2) Kila chumba cha kulala na Choo chake na kuna Sebule,Jiko,Dining-room na Store. Vile vile kuna Frem za Maduka 5. Nyumba ipo ndani ya Fensi. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. ___________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. ___________mskvl Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.