Details
Description
Kufika hapa kuna njia tatu: Unaweza kupitia KINYEREZI,BANANA au GONGOLAMBOTO. Nyumba ina vyumba vya kulala 2. Na pia kuna Fremu/Maduka ya Biashara matatu (3) Nyumba ina Wapangaji na Maduka yana Wapangaji. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________mskv Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.