Details
Description
Hii ni nyumba nzuri ya kisasa, imara na ya kuvutia. NI YA KUHAMIA. Ipo MSUMI. INAUZWA NA BANK KWA RIDHAA YA MMILIKI. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 800. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Vyumba 3 vikubwa (Masta 1) Pia Ina Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani. Finishing yake ni Tamu hadi kujilamba. Wahi Mdau ujichukulie HUTAJUTIA. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) _________mpdg Kuona tuwasiliane mapema.