Details
Description
Nyumba nzuri na ina nafasi. Vyumba 3 ( Masta 1) Sebule,Jiko, Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani. Ipo KITUNDA/KIVULE (KWA SUGUYE/MATEMBELE YA PILI) Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,050. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Ndani ya Fensi, Parking kubwa na kuna KISIMA chenye Maji matamu. ____ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000 (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. ____mskv Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.