Details
Description
Hii ni nyumba nzuri YAKUHAMIA ambayo ina nafasi na yenye ulinzi. Eneo ni CHEKECHEA, KIGAMBONI. Umbali wa kilomita tu 21 tu kutoka Feri. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 424. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Vyumba 4 (Masta 1) Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani. __________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000 (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. __________mskv