02.10.2024Dar es Salaam

NYUMBA YA VYUMBA 3, BOKO/BSHY

TZS 180 000 000

Details

Terms
Monthly in advance
Price per square unit
No
Square units
400 m2

Description

Hii ni nyumba nzuri ya KUHAMIA. Ilipo kuna njia mbilk. Unaweza kuingilia BOKO BASIHAYA au tena u aweza kupitia UNUNIO.. Hii ni nyumba ya Kkwanja cha kwenge kona. Ina vyumba 3 (Masta 1) Pia Sebule. Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400. KIMEPIMWA (Hati bado kutoka) Mtaa mzuri na tulivu ___________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuikagua Tshs.50,000 (Unalipa wewe Mnunuzi) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.

Dalalitz G.

Member since 2024.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar es Salaam