Details
Description
Hii ni nyumba yakisasa yenye nafasi na ambayo ipo jiranj na Uwanja mkubwa wa Ndege wa Unguja. Ni umbali wa wastani wa kilomita 12 tu kutoka STONE TOWN. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 750. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Hii nyumba Ina jumla ya vyumba 7 vya kulala. Kati ya hivyo vyumba 4 vina vyoo ndani. Pia Ina Sebule 3, Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani. Pa4king ipo yenye Paving lakini pia kuna Kisima na ACs. ___ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. ___