Details
Description
Hii ni nyumba nzuri ndani ya Fensi. Vyumba 3( masta 1) Pia Ina Sebule,Jiko,Dining-room na Choo cha Familia ndani. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 350. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. __________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000 (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________mskv Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali