Details
Description
Pamoja na kuwa na vyumba 3 vya kulala hii nyumba pia Ina Frem za Maduka 2. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Eneo ni MSONGOLA/KIVULE. __________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000 (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. __________mskv Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.