01.09.2019Tanzania, Dar Es Salaam

NYUMBA NA FREMU 5 ZA BIASHARA INAUZWA -TEMEKE

TZS 200 000 000

Description

NYUMBA NA FREMU 5 ZA BIASHARA INAUZWA. Mahali: Temeke-Mitaa ya mwembe yanga 1. Nyumba imegawanyika sehemu mbili 2. Sehemu ya kwanza ina sebure, vyumba viwili, jiko na choo. 3. Sehemu ya pili ina sebure, vyumba 3, jiko, choo na bafu. 4. Slide windows na tiles 5. Fremu 5 za biashara 6. iko barabarani. 7. Sehemu ni nzuri kwa makazi au ukitaka kubadilisha kuweka biashara. 8. Ukubwa wa kiwanja: makadirio 500-600sqm 9. Document ya umiliki: Leseni ya Makazi

Estate Professional Brokers

Member since 2018.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam