Details
Description
Hii Ni nyumba MPYA ambayo Ipo Mbezi MSUMI. Kiwanja SQM.420. Umiliki ni Mkataba wa mauziano. __________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. __________mpg Ujenzi wa kisasa. Vyumba 3 (Masta 1) Pia kuna Sebule, Jiko, Dining, Store na Choo cha Familia ndani. Nyumba Ina Tiles, Gypsum, Dirisha za Vioo. Haina FENSI. Eneo limejengeka vizuri na kuzunguukwa na nyumba MPYA na za kisasa.