Details
Description
Hii ni nyumba mpya ya mjengo wa kosasa (CONTEMPORARY) Ipo MBEZI-KIFULU-UNJU. Vyumba 3 ( 2 Vyoo ndani) Pia kuna Sebule,Jiko, Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani. Ipo ndani ya Fensi na Parking ni kubwa na ina Paving. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________mpg