Details
Description
Hii ni nyumba nzuri MPYA. Ina jumla ya vyumba 4 (2 ni Masta) Pia kuna Sebule,Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. Ipo MBAGALA CHAMAZI, Jirani na Barabara ya Lami. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 460. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Ina Parking yenye Paving, Kisima cha Maji na Umeme wa LUKU. ___ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu ____rr Kukagua taarifa mapema tafadhali .