Details
Description
Hii ni nyumba nzuri kubwa inayojitegemea. Ndani ya Fensi na yenye Parking ya kutosha. Ipo jirani na Kituo cha Daladala na Barabara ya Lami. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 700. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Vyumba 3 (Masta 1) Pia Ina Sebule,Jiko,Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. _____ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _____tp Ukihitaji kukagua Toa taarifa mapema.