Details
Description
Hii ni nyumba mpya ambayo ipo KIVULE KONA YA MSONGOLA. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 300. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Vyumba 3 (Masta 1) Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) _________mskv Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.