Details
Description
Hii ni nyumba mpya katika Kiwanja chenye ukubwa wa SQM. 800 ambacho umiliki wake ni MKATABA WA MAUZIANO. Eneo ni PUGU KONA/ILALA. Vyumba 3 (Masta 1) Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________tp Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.