Details
Description
Hizi ni nyumba nzuri za kisasa katika kiwanja kimoja. Nyumba ya kwanza ina jumla ya vyumba vya kulala 5. ambapo kati yake 3 vina Vyoo ndani. Nyumba ya pili Ina vyumba vya kulala 3 ambapo kimoja kina Choo ndani. Nyumba zote kila moja ina Sebule,Jiko,Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. Kiwanja kina ukubwa wa SQM.1,000. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) _________tp