Details
Description
Hii ni nyumba nzuri kubwa unayoweza KUHAMIA. Ipo KIVULE. Kiwanja kinabukubwa wa SQM. 400 Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Ina vyumba 3 (Masta 1) Pia Ina Sebule,Jiko,Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000 (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________mskv