12.06.2022Tanzania, Dar Es Salaam

NYUMBA INAUZWA WAHI HARAKA ?

TZS 33 000 000

Description

nyumba inauzwa ipo msongola jiji la ilala dsm nyumba ya vyumba 3 vya kulala daingiroom stingiroom kicheni master toilet public nyumba mpya nyumba bei ml 33 nyumba ina umeme upo maji yapo ukubwa wa eneo ni SQMT 400 nyumba aipo mbali na Barbara ya rami km dk chache tu kufika katika nyumba bei ml 33

DAMALO H. F. R.

Member since 2021.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam