08.07.2021Tanzania, Shinyanga

Nyumba inauzwa Shinyanga Mjini

TZS 15 550 000

Description

Nyumba inapatikana katika Halmashauri ya wilaya ya shinyanga Mjini, Matanda. Kiwanja cha nyumba kina ukubwa wa square mita 600. Nyumba ina vyumba vitatu vya kulala ikiwemo master bedroom. ipo Block CC, Plot No 160. Kiwanja nyumba ilipojengwa hakidaiwi na Serikali. Umeme na maji vinapatikana hapohapo, kwani nguzo ya ueme ipo nje tu ya nyumba. Numba inauzwa shilingi 15550000

Mathias Athanas

Member since 2021.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Shinyanga