01.10.2022Dar es Salaam

NYUMBA INAUZWA NA BANK MBEZI

TZS 80 000 000

Description

Nyumba ipo MBEZI MWISHO LUGURUNI Ni nyumba ya kisasa kabisa ina vyumba vitatu vya kulala ikiwemo master bedroom moja ina jiko Dina na seeting room kubwa ina uwanja wa kutosha kupaki magari yako bei ni milioni 80 ukubwa wa eneo ni square mita 1000. Nyumba ipo jirani na ofisi ya wilaya ya Ubungo hati inasoma serekale za mitaa kwa maelezo zaidi tupigie simu 0653204486 au 0687034948

John

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar es Salaam