17.05.2022Tanzania, Mwanza

NYUMBA INAUZWA MILIONI 85

TZS 85 000 000

Description

.nyumba nzuri sana INAUZWA MILION 85m ipo buswelu JIJINI MWANZA kiwanja 30 KWA 50 ina vyumba 3 kimojawapo ni master sebule dining jiko STOO, nje kuna jiko na stop pia choo ya nje garden allumium JIPSAM VIGAE umeme maji ndani ya fensi NIYA raiya wa nje anarudi KWAO na mkewe wote ni wa huko ugaibuni

OURDALALI REAL ESTATE LIMITED

Member since 2020.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Mwanza